Kumbukeni Kujiandaa Kukabiliana na Ukame Terrat Simanjiro
Jamii ya wafugaji wa kijiji cha Terrat, Wilaya ya Simanjiro, inakumbushwa kutumia vizuri msimu huu wa mvua kuandaa malisho kwa ajili ya mifugo ili kuepuka hasara katika kipindi kijacho cha…
Jamii ya wafugaji wa kijiji cha Terrat, Wilaya ya Simanjiro, inakumbushwa kutumia vizuri msimu huu wa mvua kuandaa malisho kwa ajili ya mifugo ili kuepuka hasara katika kipindi kijacho cha…
Na Nyangusi Ole Sang’ida Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kupitia mtandao wa Polisi Wanawake (TPF NET) limetoa msaada wa mahitaji muhimu kwa wanafunzi wenye ulemavu wa kituo cha Mafunzo…
Jumla ya kaya 22 zenye watu 96 na mifugo 196 zilizohama kwa hiari kutoka ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro zimepokelewa rasmi katika Kijiji cha Msomera, Wilayani Handeni. Kaya hizo zimekabidhiwa…
Na Mwandishi wetu. Katika kijiji cha Sukuro, kata ya Komolo, wilaya ya Simanjiro, maisha yanaonekana kuwa na changamoto ya aina yake ukosefu wa mtandao wa simu. Ili waweze kupiga simu,…
Tatizo la maji limeendelea kuwa changamoto kubwa kwa wakazi wa Kijiji cha Lorokare, kata ya Oljoro No. 5, jambo linalowakwamisha kushiriki mikutano ya kijamii inayolenga kutatua kero zao. Wananchi wengi,…
Kurunzi Maalumu. Kwa mujibu wa Ripoti ya Tafiti ya Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria ya Mwaka 2022 yaani (Demographic and Health Survey and Malaria Indicator Survey)…
Nijuze Radio Show. Jamii nyingi za kifugaji zinaishi katika maeneo yaliyombali na miundombinu ya umeme, masoko hivyo zinakabiliwa na changamoto za kupata rasilimali na fursa za kuboresha kipato chao kipindi…
Na Dorcas Charles. Wananchi wameshauriwa kutumia choo bora ili kujiepusha na maambukizi ya magonjwa ya mlipuko kama vile kipindupindu, homa ya matumbo na magonjwa mengine yanayosbabishwa na uchavuzi wa mazingira.…
Kurunzi Maalumu. Migogoro ya ardhi ni hali ya kutokubaliana au mvutano kati ya pande mbili au zaidi kuhusu umiliki, matumizi, au mipaka ya ardhi. Migogoro hii inaweza kusababishwa na sababu…
Nijuze Radio Show. Kwa mujibu wa Sera ya afya ya uzazi ya mwaka 2008 inalenga kuboresha afya na ustawi wa wanawake, wanaume na watoto kwa kuzingatia haki za binadamu na…