Hatupigi picha tunapiga Simu

Na Mwandishi wetu.

Katika kijiji cha Sukuro, kata ya Komolo, wilaya ya Simanjiro, maisha yanaonekana kuwa na changamoto ya aina yake ukosefu wa mtandao wa simu. Ili waweze kupiga simu, wakazi wa hapa wanalazimika kutafuta sehemu yenye mtandao, mara nyingi wakipanda juu ya miti au kusimama maeneo ya juu.

Wananchi wanajikusanya chini ya miti na kujaribu kupandisha simu zao juu ili kupata hata chembe ya mtandao, iwe ni kwa kuwasiliana na wapendwa wao au kwa mahitaji mengine ya msingi.

Katika ulimwengu wa sasa ambapo intaneti na mawasiliano ya simu ni sehemu muhimu ya maisha, wakazi wa Sukuro wanajikuta wakiwa katika mazingira magumu. Kwao, sio jambo la kuchukua simu na kupiga, ni lazima wawe wabunifu na wavumilivu siyo kupiga picha, bali kupiga simu kwa tabu nyingi.

Tulia na sisi tutakusafirisha uone namna maisha yanavyokwenda Bila mtandao wa simu!!!!!

Related Posts

Baraza la Madiwani Arusha Laitimishwa Rasmi, Viongozi Wasisitiza amani

Baraza la madiwani jiji la Arusha limefungwa rasmi katika hafla ya kipekee iliyoongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mh. Mohamed Mchechengerwa.…

Continue reading
Siku ya Elimu ya Ugonjwa wa Sikoseli Duniani — 19 Juni: Kuleta Mwanga kwa Wagonjwa na Jamii

World Sickle Cell Awareness Day ni siku inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 19 Juni ili kuhamasisha elimu juu ya ugonjwa wa sikoseli. Ugonjwa huu wa damu, unaosababisha mabadiliko ya seli nyekundu…

Continue reading

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You Missed

Baraza la Madiwani Arusha Laitimishwa Rasmi, Viongozi Wasisitiza amani

Baraza la Madiwani Arusha Laitimishwa Rasmi, Viongozi Wasisitiza amani

Siku ya Elimu ya Ugonjwa wa Sikoseli Duniani — 19 Juni: Kuleta Mwanga kwa Wagonjwa na Jamii

Siku ya Elimu ya Ugonjwa wa Sikoseli Duniani — 19 Juni: Kuleta Mwanga kwa Wagonjwa na Jamii

Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

Jamii ya Maa Iwe Makini na Wanaotaka Kuigombanisha na Serikali – Fred Lowassa

Jamii ya Maa Iwe Makini na Wanaotaka Kuigombanisha na Serikali – Fred Lowassa
Enable Notifications OK No thanks