Mkuu wa Wilaya Monduli Aahidi Kulinda Ardhi ya Malisho Mswakini
Na Nyangusi Ole Sang’ida Tarehe 17 Aprili 2025, Mkuu wa Wilaya ya Monduli, Mhe. Festo Kiswaga, alifanya ziara ya kikazi katika kata ya Mswakini ili kusikiliza kero za wananchi na…
Na Nyangusi Ole Sang’ida Tarehe 17 Aprili 2025, Mkuu wa Wilaya ya Monduli, Mhe. Festo Kiswaga, alifanya ziara ya kikazi katika kata ya Mswakini ili kusikiliza kero za wananchi na…
Na Nyangusi ole Sang’ida Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid ameongoza maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ya mwaka 2025.…
Serikali za vijiji katika Tarafa ya Terrat, wilayani Simanjiro, zimetakiwa kuwa na ushirikiano mzuri na wawekezaji waliopo kwenye maeneo yao kwa kuwaalika na kuwatembelea ili kujenga mahusiano mazuri na kushirikiana…
Mtaalamu wa sheria, Ndg. Saitabau Laadapi, mwanafunzi wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira jijini Arusha, ametoa ufafanuzi wa kisheria kuhusu mgogoro wa ardhi unaomhusisha Bwana Marko…
Kurunzi Maalumu. Migogoro ya ardhi ni hali ya kutokubaliana au mvutano kati ya pande mbili au zaidi kuhusu umiliki, matumizi, au mipaka ya ardhi. Migogoro hii inaweza kusababishwa na sababu…
Na Baraka David Ole Maika. Lucas ni mkaazi wa wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha familia yake imekuwa na mgogoro wa ardhi ambao umesababisha kushindwa kufanya maendeleo yoyote katika Ardhi…
Na Isack Dickson. Wananchi wa kijiji cha Terrat na wanajamii kwa ujumla wametakiwa kuhakikisha wanamiliki hati miliki za ardhi ili kupunguza migogoro ya ardhi katika jamii. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti…