Maji Safi na Salama ni Yapi?
Simanjiro ni mojawapo ya wilaya zinazokumbwa na changamoto kubwa ya ukame, hali inayochangia uhaba wa maji safi na salama kwa wakazi wake. Ukame huu umeathiri kwa kiasi kikubwa vyanzo vya…
Simanjiro ni mojawapo ya wilaya zinazokumbwa na changamoto kubwa ya ukame, hali inayochangia uhaba wa maji safi na salama kwa wakazi wake. Ukame huu umeathiri kwa kiasi kikubwa vyanzo vya…
Na waandishi wetu Kwa mujibu wa ofisi ya taifa ya takwimu nbs inasema 25.6% ya wanawake waliokati ya umri wa miaka 15- 64 sawa na milioni 25.6 hawafanyi kazi yoyote…
Na Evanda Barnaba Uhifadhi wa mazao ya chakula ni suala muhimu sana, hasa kwa wakulima na jamii zetu kwa ujumla. Mazao mengi yanaharibika baada ya mavuno kutokana na uhifadhi duni,…
Kurunzi Maalumu. Kwa mujibu wa Ripoti ya Tafiti ya Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria ya Mwaka 2022 yaani (Demographic and Health Survey and Malaria Indicator Survey)…
Nijuze Radio Show. Jamii nyingi za kifugaji zinaishi katika maeneo yaliyombali na miundombinu ya umeme, masoko hivyo zinakabiliwa na changamoto za kupata rasilimali na fursa za kuboresha kipato chao kipindi…
Kurunzi Maalumu. Migogoro ya ardhi ni hali ya kutokubaliana au mvutano kati ya pande mbili au zaidi kuhusu umiliki, matumizi, au mipaka ya ardhi. Migogoro hii inaweza kusababishwa na sababu…
Kulingana na ripoti ya afya ya demografia na makazi yaani Demographic And Health Survey ya mwaka 2015/16 mkoa wa Manyara unaongoza kwa ukeketaji kwa asilimia 58 ya wanawake wenye umri…
Mifumo ya kuripoti matukio ya rushwa ni njia ambazo mwananchi ama yule aliyefikwa na tatizo kuweza kufikisha mahala panapostahili. Mifumo hiyo ipo ya namna nyingi mfano kufika mwenyewe kwenye ofisi…
Nijuze Radio Show. Kuwepo kwa mvua kubwa zinazosababisha mafuriko na kuharibu miundombinu,mfano Kwa mwaka 2023 hadi mwanzoni mwa 2024 mafuriko yaliosababishwa na mvua za El Nino yaliathiri miundombinu ya barabara…