Ufafanuzi wa kisheria kuhusu Mgogoro wa Umiliki wa Ardhi Kati ya Bwana Marko Sangeti na Kijiji cha Terrat
Mtaalamu wa sheria, Ndg. Saitabau Laadapi, mwanafunzi wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira jijini Arusha, ametoa ufafanuzi wa kisheria kuhusu mgogoro wa ardhi unaomhusisha Bwana Marko…