Maji Safi na Salama ni Yapi?
Simanjiro ni mojawapo ya wilaya zinazokumbwa na changamoto kubwa ya ukame, hali inayochangia uhaba wa maji safi na salama kwa wakazi wake. Ukame huu umeathiri kwa kiasi kikubwa vyanzo vya…
Simanjiro ni mojawapo ya wilaya zinazokumbwa na changamoto kubwa ya ukame, hali inayochangia uhaba wa maji safi na salama kwa wakazi wake. Ukame huu umeathiri kwa kiasi kikubwa vyanzo vya…
Malayoni,Malisho ya Mifugo na Hatari za Wanyamapori Orkonerei Fm Radio.Katika jamii ya Kimasai, vijana wa kiume huanza kuchunga mifugo kuanzia umri mdogo wa miaka mitano. Eneo la Ushoroba wa Kwakuchinja, lililopo Kata…
Changamoto ya migogoro kati ya wanyamapori na binadamu inazidi kuongezeka Tanzania, hasa kwa jamii zilizo karibu na hifadhi na mapito ya wanyama. Taarifa zinaonyesha kuwa kati ya mwaka 2012 na…
Shule ya Msingi Burunge, iliyopo katika kijiji cha Sangaiwe, Halmashauri ya Babati, ni moja ya mifano hai ya jinsi uhifadhi wa ushoroba wa Kwakuchinja unavyoboresha maisha ya jamii. Kwa msaada…
Wakaazi wa kijiji cha Terrat wilaya ya Simanjiro wamelalamikia hali ya mfumuko wa bei ya mahindi ulivyongezeka kwa zaidi kutoka shilingi elfu 7,000 hadi shilingi elfu 15,000. Jamii ya wafugaji…
Mtaalamu wa sheria, Ndg. Saitabau Laadapi, mwanafunzi wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira jijini Arusha, ametoa ufafanuzi wa kisheria kuhusu mgogoro wa ardhi unaomhusisha Bwana Marko…
Kijijini Sangaiwe, Kata ya Mwada, Wilaya ya Babati, wanawake wa Kikundi cha Irongoo wameanzisha mabadiliko makubwa ya mazingira na uchumi kwa kutumia teknolojia ya majiko matawi. Majiko haya, yanayotumia udongo…
Jamii ya Kimaasai ni mojawapo ya jamii kubwa na za kihistoria zaidi nchini Tanzania, ikiwa imejipambanua kwa utunzaji wa mila, desturi, na tamaduni zake nzuri kwa karne nyingi. Hata hivyo,…
Katika jamii nyingi za vijijini na kifugaji, dhana ya baba na mama kushirikiana katika kuhudhuria kliniki bado haijapewa uzito unaostahili. Hata hivyo, ushirikiano huu una faida kubwa si tu kwa…
Katika ushoroba wa Kwakuchinja, unaounganisha mbuga za wanyama za Tarangire na Hifadhi ya Ziwa Manyara, James Nyasuka, mlinzi wa wanyamapori wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), ana simulizi…