Unafanya Nini Ili Mwanamke Awe Kiongozi?
Jamii ya Kimaasai ni mojawapo ya jamii kubwa na za kihistoria zaidi nchini Tanzania, ikiwa imejipambanua kwa utunzaji wa mila, desturi, na tamaduni zake nzuri kwa karne nyingi. Hata hivyo,…
Jamii ya Kimaasai ni mojawapo ya jamii kubwa na za kihistoria zaidi nchini Tanzania, ikiwa imejipambanua kwa utunzaji wa mila, desturi, na tamaduni zake nzuri kwa karne nyingi. Hata hivyo,…
Wazazi wa Jamii ya Wafugaji wamaasai wametakiwa kutumia mifugo walionao na raslimali zingine kuwapeleka watoto wao Shule bila kuwabagua. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Shule ya Mchepuo wa Kiingereza…
Vaileth Kadogo, mwanamke mjasiriamali kutoka Loswaki, wilayani Simanjiro, ni mfano wa juhudi na mafanikio katika kilimo cha umwagiliaji. Katika eneo ambalo changamoto za ukame na uharibifu wa mazao kutoka kwa…
Katika jamii nyingi za vijijini na kifugaji, dhana ya baba na mama kushirikiana katika kuhudhuria kliniki bado haijapewa uzito unaostahili. Hata hivyo, ushirikiano huu una faida kubwa si tu kwa…
Katika ushoroba wa Kwakuchinja, unaounganisha mbuga za wanyama za Tarangire na Hifadhi ya Ziwa Manyara, James Nyasuka, mlinzi wa wanyamapori wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), ana simulizi…
#Habari Bodi ya Afya ya Halmashauri ya Mji wa Mbulu, ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Silvester Ombay, imefanya ziara ya siku moja katika Halmashauri ya Mji wa Babati kujifunza namna bora…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali mstaafu, Jaji Frederick Werema, amefariki dunia leo, Desemba 30, 2024, akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), alikokuwa akipatiwa matibabu. Taarifa ya kifo chake imethibitishwa na…
Jimmy Carter, rais wa 39 wa Marekani, alifariki dunia Desemba 29, 2024, akiwa na umri wa miaka 100. Safari yake ya maisha ni mfano wa jinsi mtu anaweza kutumia nafasi…
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Cuthbert Sendiga, leo Disemba 29, 2024, ametembelea na kutoa zawadi za sikukuu ya mwaka mpya 2025 katika vituo vitatu vya watu wenye mahitaji…
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, ameonyesha kusikitishwa na utendaji wa Mkuu wa Shule ya Sekondari Chifu Sarja, Eelifadhili Gefi, baada ya kushindwa kuonekana mara mbili mfululizo wakati wa…