UMEME WALETA MAENDELEO KATA YA TERRAT, SIMANJIRO
Nishati ya umeme imeleta mapinduzi makubwa ya maendeleo katika kata ya Terrat, mkoani Manyara. Wakazi wa eneo hili sasa wanashuhudia mabadiliko katika sekta mbalimbali, ikiwemo biashara, elimu, afya, na ajira,…