Jimmy Carter: Safari ya Maisha ya Mkulima wa Karanga Aliyebadilisha Ulimwengu
Jimmy Carter, rais wa 39 wa Marekani, alifariki dunia Desemba 29, 2024, akiwa na umri wa miaka 100. Safari yake ya maisha ni mfano wa jinsi mtu anaweza kutumia nafasi…
Jimmy Carter, rais wa 39 wa Marekani, alifariki dunia Desemba 29, 2024, akiwa na umri wa miaka 100. Safari yake ya maisha ni mfano wa jinsi mtu anaweza kutumia nafasi…
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, ameonyesha kusikitishwa na utendaji wa Mkuu wa Shule ya Sekondari Chifu Sarja, Eelifadhili Gefi, baada ya kushindwa kuonekana mara mbili mfululizo wakati wa…
Jumla ya kaya 22 zenye watu 96 na mifugo 196 zilizohama kwa hiari kutoka ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro zimepokelewa rasmi katika Kijiji cha Msomera, Wilayani Handeni. Kaya hizo zimekabidhiwa…
Na Marystella Brayson Katika mkutano wa Umoja wa Afrika Mashariki (EAPP) uliofanyika Desemba 9, 2024, mjini Mombasa, Kenya, Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judidhi Kapinga, alizungumzia mafanikio na mipango ya…
Na Evanda Barnaba Korongo la Losunyai, maarufu kwa mchanga unaotumika kwa ujenzi mkubwa wa majengo jijini Arusha, limekuwa chanzo kikuu cha changamoto kwa wakazi wa Wilaya ya Simanjiro-Manyara, na Monduli-Arusha.…
Simanjiro, Manyara – Wakazi wa Langai wapo katika hali ya wasiwasi kutokana na kusimama kwa ujenzi wa daraja ambalo lilitarajiwa kuwa kiunganishi muhimu cha usafiri na usalama wa wakazi wa…
Na Nyangusi Ole Sang’ida Leo, 9 Disemba 2024, waandishi wasaidizi na waendesha vifaa vya bayometriki katika halmashauri ya wilaya ya Meru, mkoani Arusha, wanaendelea na mafunzo kwa vitendo katika maandalizi…
Na Mwandishi wetu. Katika kuadhimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania,Mwl. Fakii Raphael Lulandala, Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro, leo (9 Disemba 2024) ameongoza zoezi la upandaji miti na usafi…
Septemba Mwaka 2024 kulianza kuonekana matumaini makubwa kwa wakazi wa kitongoji cha Songambele, kijiji cha Lorokare, kata ya Oljoro No. 5, baada ya Diwani wa kata hiyo, Bw. Loshie Lesakui,…
#Habari Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro, Mhe. Mwl. Fakih Lulandala, ameongoza kikao muhimu cha kamati elekezi ya kusimamia maafa ya wilaya, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya…