Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa
Kijana mmoja aitwaye Joseph Gadiel mkazi wa kitongoji cha Kimelok, kijiji cha Ngiresi wilayani Arusha ameuawa kwa kuchomwa kisu baada ya kutokea ugomvi baina yake na kijana mwingine aliyetambulika kwa…