Mwaka Mmoja Baada ya Ripoti ya Orkonerei FM: Je, Kituo cha Afya Mirerani Kimeboreshwa?

Kituo cha afya cha Mirerani kilichopo kata ya Endiamtu, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, kinaendelea kukabiliwa na changamoto mbalimbali licha ya jitihada zilizochukuliwa na serikali baada ya ripoti ya Orkonerei FM mwaka 2023.

Katika ripoti ya awali ya mwaka 2023, changamoto zilizobainishwa zilihusisha uhaba wa majengo, upungufu wa wahudumu wa afya, pamoja na ukosefu wa dawa na vifaa tiba. Hali hiyo ilisababisha madhara makubwa kwa jamii, ikiwemo ongezeko la maambukizi ya magonjwa kama kifua kikuu, na wagonjwa kulazwa sakafuni kutokana na uhaba wa vitanda.

Mabadiliko Yaliyojitokeza

Katika uchunguzi mpya wa mwaka huu, Orkonerei FM imetembelea tena kituo hicho na kubaini kuwepo kwa mabadiliko madogo yaliyofanyika, ikiwemo:

  • Ujenzi wa chumba kipya cha mapokezi
  • Uboreshaji wa jengo la kuhifadhia maiti
  • Kuboresha eneo la utoaji wa dawa

Ili kufahamu zaidi sikiliza makala hii ya sauti na JOYCE ELIUS.

  • Related Posts

    Baraza la Madiwani Arusha Laitimishwa Rasmi, Viongozi Wasisitiza amani

    Baraza la madiwani jiji la Arusha limefungwa rasmi katika hafla ya kipekee iliyoongozwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mh. Mohamed Mchechengerwa.…

    Continue reading
    Siku ya Elimu ya Ugonjwa wa Sikoseli Duniani — 19 Juni: Kuleta Mwanga kwa Wagonjwa na Jamii

    World Sickle Cell Awareness Day ni siku inayoadhimishwa kila mwaka tarehe 19 Juni ili kuhamasisha elimu juu ya ugonjwa wa sikoseli. Ugonjwa huu wa damu, unaosababisha mabadiliko ya seli nyekundu…

    Continue reading

    Leave a Reply

    Your email address will not be published. Required fields are marked *

    You Missed

    Simanjiro: Watu Wenye Ulemavu na Ushiriki wa mikutano ya maamuzi

    Simanjiro: Watu Wenye Ulemavu na Ushiriki wa mikutano ya maamuzi

    Baraza la Madiwani Arusha Laitimishwa Rasmi, Viongozi Wasisitiza amani

    Baraza la Madiwani Arusha Laitimishwa Rasmi, Viongozi Wasisitiza amani

    Siku ya Elimu ya Ugonjwa wa Sikoseli Duniani — 19 Juni: Kuleta Mwanga kwa Wagonjwa na Jamii

    Siku ya Elimu ya Ugonjwa wa Sikoseli Duniani — 19 Juni: Kuleta Mwanga kwa Wagonjwa na Jamii

    Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

    Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

    Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

    Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

    Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

    Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa