Hatupigi picha tunapiga Simu

Na Mwandishi wetu.

Katika kijiji cha Sukuro, kata ya Komolo, wilaya ya Simanjiro, maisha yanaonekana kuwa na changamoto ya aina yake ukosefu wa mtandao wa simu. Ili waweze kupiga simu, wakazi wa hapa wanalazimika kutafuta sehemu yenye mtandao, mara nyingi wakipanda juu ya miti au kusimama maeneo ya juu.

Wananchi wanajikusanya chini ya miti na kujaribu kupandisha simu zao juu ili kupata hata chembe ya mtandao, iwe ni kwa kuwasiliana na wapendwa wao au kwa mahitaji mengine ya msingi.

Katika ulimwengu wa sasa ambapo intaneti na mawasiliano ya simu ni sehemu muhimu ya maisha, wakazi wa Sukuro wanajikuta wakiwa katika mazingira magumu. Kwao, sio jambo la kuchukua simu na kupiga, ni lazima wawe wabunifu na wavumilivu siyo kupiga picha, bali kupiga simu kwa tabu nyingi.

Tulia na sisi tutakusafirisha uone namna maisha yanavyokwenda Bila mtandao wa simu!!!!!

Related Posts

TAWA Yasihi Serikali za Vijiji Kwenye Uhifadhi Kuimarisha Ujirani Mwema na Wawekezaji

Serikali za vijiji katika Tarafa ya Terrat, wilayani Simanjiro, zimetakiwa kuwa na ushirikiano mzuri na wawekezaji waliopo kwenye maeneo yao kwa kuwaalika na kuwatembelea ili kujenga mahusiano mazuri na kushirikiana…

Continue reading

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You Missed

TAWA Yasihi Serikali za Vijiji Kwenye Uhifadhi Kuimarisha Ujirani Mwema na Wawekezaji

TAWA Yasihi Serikali za Vijiji Kwenye Uhifadhi Kuimarisha Ujirani Mwema na Wawekezaji

Maji Safi na Salama ni Yapi?

Maji Safi na Salama ni Yapi?

Mbinu Bora za Uhifadhi wa Mazao ya Chakula kwa Usalama na Ufanisi

Mbinu Bora za Uhifadhi wa Mazao ya Chakula kwa Usalama na Ufanisi

Usalama wa Vijana Wanaochunga Mifugo Kwakuchinja

Usalama wa Vijana Wanaochunga Mifugo Kwakuchinja

Migogoro baina ya Wanyamapori na Binadamu Tanzania: Chanzo na Suluhisho

Migogoro baina ya Wanyamapori na Binadamu Tanzania: Chanzo na Suluhisho

Namna Shule ya Msingi Burunge Inavyonufaika na Uhifadhi wa Ushoroba wa Kwakuchinja

Namna Shule ya Msingi Burunge Inavyonufaika na Uhifadhi wa Ushoroba wa Kwakuchinja
Enable Notifications OK No thanks