James Nyasuka: Mlinzi wa Bioanuai Anayehatarisha Maisha Yake Kulinda Ushoroba wa Kwakuchinja

Katika ushoroba wa Kwakuchinja, unaounganisha mbuga za wanyama za Tarangire na Hifadhi ya Ziwa Manyara, James Nyasuka, mlinzi wa wanyamapori wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), ana simulizi ya kusisimua inayodhihirisha jinsi walinzi wa bioanuai wanavyojitoa kwa uhifadhi licha ya changamoto kubwa wanazokabiliana nazo.

Mwandishi wa Orkonerei FM, Isack Dickson (kushoto), akifanya mahojiano na mlinzi wa wanyamapori, James Nyasuka, katika ushoroba wa Kwakuchinja, Disemba 2023. Mahojiano haya yalilenga kufichua changamoto zinazowakumba walinzi wa bioanuai.

James ameshuhudia matukio hatari, ikiwemo kung’atwa na jangili na kunusurika kushambuliwa kwa mkuki na mwanakijiji mwenye hasira wakati akilinda maliasili za taifa. Pamoja na changamoto hizi, dhamira yake ni kuhakikisha wanyamapori na rasilimali za taifa zinalindwa kwa manufaa ya vizazi vijavyo.

🎧 Sikiliza sauti ya makala hii kamili inayomulika changamoto na juhudi za uhifadhi kupitia walinzi kama James hapa:

  • Related Posts

    TAWA Yasihi Serikali za Vijiji Kwenye Uhifadhi Kuimarisha Ujirani Mwema na Wawekezaji

    Serikali za vijiji katika Tarafa ya Terrat, wilayani Simanjiro, zimetakiwa kuwa na ushirikiano mzuri na wawekezaji waliopo kwenye maeneo yao kwa kuwaalika na kuwatembelea ili kujenga mahusiano mazuri na kushirikiana…

    Continue reading

    One thought on “James Nyasuka: Mlinzi wa Bioanuai Anayehatarisha Maisha Yake Kulinda Ushoroba wa Kwakuchinja

    Leave a Reply

    Your email address will not be published. Required fields are marked *

    You Missed

    TAWA Yasihi Serikali za Vijiji Kwenye Uhifadhi Kuimarisha Ujirani Mwema na Wawekezaji

    TAWA Yasihi Serikali za Vijiji Kwenye Uhifadhi Kuimarisha Ujirani Mwema na Wawekezaji

    Maji Safi na Salama ni Yapi?

    Maji Safi na Salama ni Yapi?

    Mbinu Bora za Uhifadhi wa Mazao ya Chakula kwa Usalama na Ufanisi

    Mbinu Bora za Uhifadhi wa Mazao ya Chakula kwa Usalama na Ufanisi

    Usalama wa Vijana Wanaochunga Mifugo Kwakuchinja

    Usalama wa Vijana Wanaochunga Mifugo Kwakuchinja

    Migogoro baina ya Wanyamapori na Binadamu Tanzania: Chanzo na Suluhisho

    Migogoro baina ya Wanyamapori na Binadamu Tanzania: Chanzo na Suluhisho

    Namna Shule ya Msingi Burunge Inavyonufaika na Uhifadhi wa Ushoroba wa Kwakuchinja

    Namna Shule ya Msingi Burunge Inavyonufaika na Uhifadhi wa Ushoroba wa Kwakuchinja
    Enable Notifications OK No thanks