James Nyasuka: Mlinzi wa Bioanuai Anayehatarisha Maisha Yake Kulinda Ushoroba wa Kwakuchinja

Katika ushoroba wa Kwakuchinja, unaounganisha mbuga za wanyama za Tarangire na Hifadhi ya Ziwa Manyara, James Nyasuka, mlinzi wa wanyamapori wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), ana simulizi ya kusisimua inayodhihirisha jinsi walinzi wa bioanuai wanavyojitoa kwa uhifadhi licha ya changamoto kubwa wanazokabiliana nazo.

Mwandishi wa Orkonerei FM, Isack Dickson (kushoto), akifanya mahojiano na mlinzi wa wanyamapori, James Nyasuka, katika ushoroba wa Kwakuchinja, Disemba 2023. Mahojiano haya yalilenga kufichua changamoto zinazowakumba walinzi wa bioanuai.

James ameshuhudia matukio hatari, ikiwemo kung’atwa na jangili na kunusurika kushambuliwa kwa mkuki na mwanakijiji mwenye hasira wakati akilinda maliasili za taifa. Pamoja na changamoto hizi, dhamira yake ni kuhakikisha wanyamapori na rasilimali za taifa zinalindwa kwa manufaa ya vizazi vijavyo.

🎧 Sikiliza sauti ya makala hii kamili inayomulika changamoto na juhudi za uhifadhi kupitia walinzi kama James hapa:

  • Related Posts

    Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limefanya ukaguzi maalumu wa mabasi ya abiria ili kudhibiti ajali kutokana na ongezeko la wasafiri kipindi cha likizo za shule. Madereva wamehimizwa kuzingatia sheria…

    Continue reading
    Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

    Zaidi ya madereva 800 wa magari ya utalii mkoani Arusha wamepatiwa mafunzo maalumu yaliyoandaliwa na Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, ikiwa ni maandalizi ya msimu wa utalii (high…

    Continue reading

    One thought on “James Nyasuka: Mlinzi wa Bioanuai Anayehatarisha Maisha Yake Kulinda Ushoroba wa Kwakuchinja

    Leave a Reply

    Your email address will not be published. Required fields are marked *

    You Missed

    Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

    Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

    Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

    Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

    Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

    Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

    Jamii ya Maa Iwe Makini na Wanaotaka Kuigombanisha na Serikali – Fred Lowassa

    Jamii ya Maa Iwe Makini na Wanaotaka Kuigombanisha na Serikali – Fred Lowassa

    Madereva wa Serikali Arusha Wawezeshwa kwa Mafunzo ya Usalama Barabarani

    Madereva wa Serikali Arusha Wawezeshwa kwa Mafunzo ya Usalama Barabarani

    Wadau Waungana Kunusuru Mazingira ya Maasai Steppe

    Wadau Waungana Kunusuru Mazingira ya Maasai Steppe
    Enable Notifications OK No thanks