Unatumiaje ukame kujipatia kipato?.

Nijuze Radio Show.

Jamii nyingi za kifugaji zinaishi katika maeneo yaliyombali na miundombinu ya umeme, masoko hivyo zinakabiliwa na changamoto za kupata rasilimali na fursa za kuboresha kipato chao kipindi cha ukame,hali inayopelekea kutegemea shughuli moja tu ya kifugaji kujiingizia kipato ambapo wakati wa ukame ufugaji ukumbwa na changamoto nyingi kutokana na kutokuepo kwa malisho na maji kwaajili ya mifugo.

Katika makala hii ya nijuze ambayo hukujia kila Alhamisi saa 12:00 Jioni ikiwa na marudio yake siku ya Jumamosi saa 4:30 Asubuhi inaangazia namna mkulima ama mfugaji na mwanajamii unaweza kujiingizia kipato wakati wa ukame.Karibu kuisikiliza.

Related Posts

UN Women na Halmashauri ya Monduli: Wanawake Waendelea Kupaa Kiuchumi na Kiuongozi

UN Women kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Monduli wamefanya mdahalo mkubwa Januari 8, 2025, katika Kata ya Naalarami, wenye lengo la kuimarisha nafasi ya mwanamke kiuchumi, kisiasa, na…

Continue reading

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You Missed

TAWA Yasihi Serikali za Vijiji Kwenye Uhifadhi Kuimarisha Ujirani Mwema na Wawekezaji

TAWA Yasihi Serikali za Vijiji Kwenye Uhifadhi Kuimarisha Ujirani Mwema na Wawekezaji

Maji Safi na Salama ni Yapi?

Maji Safi na Salama ni Yapi?

Mbinu Bora za Uhifadhi wa Mazao ya Chakula kwa Usalama na Ufanisi

Mbinu Bora za Uhifadhi wa Mazao ya Chakula kwa Usalama na Ufanisi

Usalama wa Vijana Wanaochunga Mifugo Kwakuchinja

Usalama wa Vijana Wanaochunga Mifugo Kwakuchinja

Migogoro baina ya Wanyamapori na Binadamu Tanzania: Chanzo na Suluhisho

Migogoro baina ya Wanyamapori na Binadamu Tanzania: Chanzo na Suluhisho

Namna Shule ya Msingi Burunge Inavyonufaika na Uhifadhi wa Ushoroba wa Kwakuchinja

Namna Shule ya Msingi Burunge Inavyonufaika na Uhifadhi wa Ushoroba wa Kwakuchinja
Enable Notifications OK No thanks