Unamwajibisha vipi kiongozi wako kuchukua hatua dhidi ya athari za mafuriko?.

Nijuze Radio Show.

Kuwepo kwa mvua kubwa zinazosababisha mafuriko na kuharibu miundombinu,mfano Kwa mwaka 2023 hadi mwanzoni mwa 2024 mafuriko yaliosababishwa na mvua za El Nino yaliathiri miundombinu ya barabara Kwa Wilaya ya Simanjiro.

Lakini Baadhi ya viongozi huwa hawawajibiki ipasavyo kuchukua hatua dhidi ya athari za mvua,kadhalika Baadhi ya Wananchi hawafahamu haki zao za kuwawajibisha viongozi hii inatokana na Ukosefu wa ushirikiano wa jamii na viongozi katika kushughulikia changamoto za mafuriko.

Katika makala hii ya Nijuze wanajamii wametoa maoni yao ya nini kifanyike ili angalau viongozi kushughulikia madhara ya mafuriko ,karibu kuisikiliza.

Related Posts

Usalama wa Vijana Wanaochunga Mifugo Kwakuchinja

Malayoni,Malisho ya Mifugo na Hatari za Wanyamapori Orkonerei Fm Radio.Katika jamii ya Kimasai, vijana wa kiume huanza kuchunga mifugo kuanzia umri mdogo wa miaka mitano. Eneo la Ushoroba wa Kwakuchinja, lililopo Kata…

Continue reading

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You Missed

TAWA Yasihi Serikali za Vijiji Kwenye Uhifadhi Kuimarisha Ujirani Mwema na Wawekezaji

TAWA Yasihi Serikali za Vijiji Kwenye Uhifadhi Kuimarisha Ujirani Mwema na Wawekezaji

Maji Safi na Salama ni Yapi?

Maji Safi na Salama ni Yapi?

Mbinu Bora za Uhifadhi wa Mazao ya Chakula kwa Usalama na Ufanisi

Mbinu Bora za Uhifadhi wa Mazao ya Chakula kwa Usalama na Ufanisi

Usalama wa Vijana Wanaochunga Mifugo Kwakuchinja

Usalama wa Vijana Wanaochunga Mifugo Kwakuchinja

Migogoro baina ya Wanyamapori na Binadamu Tanzania: Chanzo na Suluhisho

Migogoro baina ya Wanyamapori na Binadamu Tanzania: Chanzo na Suluhisho

Namna Shule ya Msingi Burunge Inavyonufaika na Uhifadhi wa Ushoroba wa Kwakuchinja

Namna Shule ya Msingi Burunge Inavyonufaika na Uhifadhi wa Ushoroba wa Kwakuchinja
Enable Notifications OK No thanks