Mwanamke unafanya shughuli gani kuongeza kipato kipindi cha ukame?

Na waandishi wetu

Kwa mujibu wa ofisi ya taifa ya takwimu nbs inasema 25.6% ya wanawake waliokati ya umri wa miaka 15- 64 sawa na milioni 25.6 hawafanyi kazi yoyote ya kuwapatia kipato.

Kwenye jamii za kifugaji kuwa na shughuli nyingine ya kujiingizi kipato inakua ni ngumu kidogo,hii ni kwasababu jamii hizi mara nyingi zinategemea ufugaji pekee, na hii inapelekea kipindi cha ukame kuwa na kipato kidogo sana kwenye familia.

Karibu kusikiliza makala hii ya Nijuze Radio Show ambayo inaruka kila siku za alhamiss sa 12;00 jioni na marudio ni jumamosi saa 4;30 asubuhi.

  • Related Posts

    UN Women na Halmashauri ya Monduli: Wanawake Waendelea Kupaa Kiuchumi na Kiuongozi

    UN Women kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Monduli wamefanya mdahalo mkubwa Januari 8, 2025, katika Kata ya Naalarami, wenye lengo la kuimarisha nafasi ya mwanamke kiuchumi, kisiasa, na…

    Continue reading

    Leave a Reply

    Your email address will not be published. Required fields are marked *

    You Missed

    TAWA Yasihi Serikali za Vijiji Kwenye Uhifadhi Kuimarisha Ujirani Mwema na Wawekezaji

    TAWA Yasihi Serikali za Vijiji Kwenye Uhifadhi Kuimarisha Ujirani Mwema na Wawekezaji

    Maji Safi na Salama ni Yapi?

    Maji Safi na Salama ni Yapi?

    Mbinu Bora za Uhifadhi wa Mazao ya Chakula kwa Usalama na Ufanisi

    Mbinu Bora za Uhifadhi wa Mazao ya Chakula kwa Usalama na Ufanisi

    Usalama wa Vijana Wanaochunga Mifugo Kwakuchinja

    Usalama wa Vijana Wanaochunga Mifugo Kwakuchinja

    Migogoro baina ya Wanyamapori na Binadamu Tanzania: Chanzo na Suluhisho

    Migogoro baina ya Wanyamapori na Binadamu Tanzania: Chanzo na Suluhisho

    Namna Shule ya Msingi Burunge Inavyonufaika na Uhifadhi wa Ushoroba wa Kwakuchinja

    Namna Shule ya Msingi Burunge Inavyonufaika na Uhifadhi wa Ushoroba wa Kwakuchinja
    Enable Notifications OK No thanks