Mwanamke unafanya shughuli gani kuongeza kipato kipindi cha ukame?

Na waandishi wetu

Kwa mujibu wa ofisi ya taifa ya takwimu nbs inasema 25.6% ya wanawake waliokati ya umri wa miaka 15- 64 sawa na milioni 25.6 hawafanyi kazi yoyote ya kuwapatia kipato.

Kwenye jamii za kifugaji kuwa na shughuli nyingine ya kujiingizi kipato inakua ni ngumu kidogo,hii ni kwasababu jamii hizi mara nyingi zinategemea ufugaji pekee, na hii inapelekea kipindi cha ukame kuwa na kipato kidogo sana kwenye familia.

Karibu kusikiliza makala hii ya Nijuze Radio Show ambayo inaruka kila siku za alhamiss sa 12;00 jioni na marudio ni jumamosi saa 4;30 asubuhi.

  • Related Posts

    Marta Noah: Mwanamke wa Kimasai Aliyevuka Vikwazo Kumiliki Ardhi

    Katika kijiji cha Loswaki, wilayani Simanjiro, Marta Noah ameandika historia ndogo lakini yenye ujumbe mkubwa. Katika jamii ya Kimasai ambako mila na desturi zimekuwa kizuizi kwa wanawake kumiliki ardhi, Martha…

    Continue reading
    MKE NA MUME KWA PAMOJA: HADITHI YA MAFANIKIO YA FAMILIA YA LAZARO KUTOKA ENGONONGOI

    Katika kijiji cha Engonongoi, wilayani Simanjiro, kuna familia ambayo imeamua kupita njia isiyozoeleka na ambayo sasa imekuwa mfano wa kuigwa na jamii yao. Ni familia ya Thomas Lazaro na mkewe…

    Continue reading

    Leave a Reply

    Your email address will not be published. Required fields are marked *

    You Missed

    Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

    Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

    Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

    Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

    Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

    Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

    Jamii ya Maa Iwe Makini na Wanaotaka Kuigombanisha na Serikali – Fred Lowassa

    Jamii ya Maa Iwe Makini na Wanaotaka Kuigombanisha na Serikali – Fred Lowassa

    Madereva wa Serikali Arusha Wawezeshwa kwa Mafunzo ya Usalama Barabarani

    Madereva wa Serikali Arusha Wawezeshwa kwa Mafunzo ya Usalama Barabarani

    Wadau Waungana Kunusuru Mazingira ya Maasai Steppe

    Wadau Waungana Kunusuru Mazingira ya Maasai Steppe
    Enable Notifications OK No thanks