Maadhimisho ya siku mazingira duniani.

Na Isack Dickson.

Tanzania inapoteza takriban hekta 372,000 za misitu kila mwaka kutokana na ukataji miti kwa ajili ya kuni, mkaa, na kilimo.

Ukataji miti umesababisha kupungua kwa eneo la misitu kutoka 45% ya eneo lote la nchi mwaka 1990 hadi 37.7% mwaka 2015 .

Pia Mabadiliko hayo yamesababisha kuongezeka kwa wastani wa joto la dunia kwa nyuzi joto 1.1°C tangu kipindi cha kabla ya mapinduzi ya viwanda .

Tanzania imekuwa ikikabiliwa na matukio ya hali mbaya ya hewa kama vile ukame na mafuriko, ambayo yameongezeka kwa kasi katika miongo michache iliyopita.

Ukame umeathiri zaidi ya watu milioni 14 nchini Tanzania katika miaka 20 iliyopita, na kupelekea kupoteza mazao na mifugo.

Karibu kusikiliza makala hii maalumu kuhusiana na mabadiliko ya tabia nchi, athari zake na juudi za urejeshwaji wa mazingira yaliyoharibika taika wilaya ya Simanjiro kata ya Terrat katika kuadhimisha siku ya mazingira duniani.

  • Related Posts

    TAWA Yasihi Serikali za Vijiji Kwenye Uhifadhi Kuimarisha Ujirani Mwema na Wawekezaji

    Serikali za vijiji katika Tarafa ya Terrat, wilayani Simanjiro, zimetakiwa kuwa na ushirikiano mzuri na wawekezaji waliopo kwenye maeneo yao kwa kuwaalika na kuwatembelea ili kujenga mahusiano mazuri na kushirikiana…

    Continue reading
    Usalama wa Vijana Wanaochunga Mifugo Kwakuchinja

    Malayoni,Malisho ya Mifugo na Hatari za Wanyamapori Orkonerei Fm Radio.Katika jamii ya Kimasai, vijana wa kiume huanza kuchunga mifugo kuanzia umri mdogo wa miaka mitano. Eneo la Ushoroba wa Kwakuchinja, lililopo Kata…

    Continue reading

    Leave a Reply

    Your email address will not be published. Required fields are marked *

    You Missed

    Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

    Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

    Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

    Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

    Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

    Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

    Jamii ya Maa Iwe Makini na Wanaotaka Kuigombanisha na Serikali – Fred Lowassa

    Jamii ya Maa Iwe Makini na Wanaotaka Kuigombanisha na Serikali – Fred Lowassa

    Madereva wa Serikali Arusha Wawezeshwa kwa Mafunzo ya Usalama Barabarani

    Madereva wa Serikali Arusha Wawezeshwa kwa Mafunzo ya Usalama Barabarani

    Wadau Waungana Kunusuru Mazingira ya Maasai Steppe

    Wadau Waungana Kunusuru Mazingira ya Maasai Steppe
    Enable Notifications OK No thanks