Kiongozi wako anawashirikisha vijana katika kukabiliana na ukatili wa kijinsia?

Nijuze Radio Show,

Kwa mujibu wa Takwimu za Demografia na Afya Tanzania (TDHS) Za mwaka 2015/2016, 40% ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 wameripoti kufanyiwa ukatili wa kimwili, 17% wameripoti kufanyiwa ukatili wa kingono.

Katika mkoa wa Manyara, matukio ya ukatili wa kijinsia yameendelea kuwa changamoto kubwa. Takwimu zinaonyesha ongezeko la matukio haya katika miaka ya karibuni. Kwa mfano, taarifa zinaonyesha kuwa kuanzia Januari hadi Juni 2021, jumla ya watu 15,131 walifanyiwa ukatili wa kijinsia nchini Tanzania, huku matukio mengi yakihusisha wanawake walio katika ndoa.

Karibu kusikiliza makala hii ya nijuze ambayo hukujia kila alhamisi Saa 12:00 jioni na marudio yake ni Jumamosi saa 4:30 Asubuhi.

Related Posts

Marta Noah: Mwanamke wa Kimasai Aliyevuka Vikwazo Kumiliki Ardhi

Katika kijiji cha Loswaki, wilayani Simanjiro, Marta Noah ameandika historia ndogo lakini yenye ujumbe mkubwa. Katika jamii ya Kimasai ambako mila na desturi zimekuwa kizuizi kwa wanawake kumiliki ardhi, Martha…

Continue reading
MKE NA MUME KWA PAMOJA: HADITHI YA MAFANIKIO YA FAMILIA YA LAZARO KUTOKA ENGONONGOI

Katika kijiji cha Engonongoi, wilayani Simanjiro, kuna familia ambayo imeamua kupita njia isiyozoeleka na ambayo sasa imekuwa mfano wa kuigwa na jamii yao. Ni familia ya Thomas Lazaro na mkewe…

Continue reading

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You Missed

Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

Jamii ya Maa Iwe Makini na Wanaotaka Kuigombanisha na Serikali – Fred Lowassa

Jamii ya Maa Iwe Makini na Wanaotaka Kuigombanisha na Serikali – Fred Lowassa

Madereva wa Serikali Arusha Wawezeshwa kwa Mafunzo ya Usalama Barabarani

Madereva wa Serikali Arusha Wawezeshwa kwa Mafunzo ya Usalama Barabarani

Wadau Waungana Kunusuru Mazingira ya Maasai Steppe

Wadau Waungana Kunusuru Mazingira ya Maasai Steppe
Enable Notifications OK No thanks