Kuzifikia huduma za afya kwenye familia ni jukumu la nani?.

Nijuze Radio Show.

Kwa mujibu wa Sera ya afya ya uzazi ya mwaka 2008 inalenga kuboresha afya na ustawi wa wanawake, wanaume na watoto kwa kuzingatia haki za binadamu na uswa wakijisia, sera hii inasisitiza umuhimu wa kuuzuria kilniki kwa pamoja mama na baba wakati wa ujauzito.

Lakini baadhi ya familia hazishirikiani kwenda kliniki kuzifikiia huduma za afya na hii ni kutokana na baadhi ya familia kutoona umuhimu wakuzifikia huduma za afya kwa pamoja,hii ni kutokana na Mila na desturi zinazomfanya mwanamke peke kua na jukumu la kuzifikia huduma za afya.

Katika makala hii ya NIJUZE RADIO SHOW inaangazia ni Jukumu la nani katika familia kuzifikia huduma za afya ? ikiwa na lengo la Jamii kuachana na mila na desturi zinazomfanya mwanamke ndiyo muhusika mkuu wa kuzifikia huduma za afya pamoja na Uwajibikaji wa viongozi kuboresha miundo mbinu ya afya na barabara,karibu kuisikiliza.

Related Posts

Matumizi ya Dawa Kiholela: Ni Tiba au Sumu?

Aliamka asubuhi akiwa na maumivu ya kichwa, Akaenda duka la dawa, akaeleza dalili, na kupewa dawa. Bila vipimo, bila ushauri wa daktari,Siku mbili baadaye hali yake ikawa mbaya zaidi. Hii…

Continue reading
Marta Noah: Mwanamke wa Kimasai Aliyevuka Vikwazo Kumiliki Ardhi

Katika kijiji cha Loswaki, wilayani Simanjiro, Marta Noah ameandika historia ndogo lakini yenye ujumbe mkubwa. Katika jamii ya Kimasai ambako mila na desturi zimekuwa kizuizi kwa wanawake kumiliki ardhi, Martha…

Continue reading

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You Missed

Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

Jamii ya Maa Iwe Makini na Wanaotaka Kuigombanisha na Serikali – Fred Lowassa

Jamii ya Maa Iwe Makini na Wanaotaka Kuigombanisha na Serikali – Fred Lowassa

Madereva wa Serikali Arusha Wawezeshwa kwa Mafunzo ya Usalama Barabarani

Madereva wa Serikali Arusha Wawezeshwa kwa Mafunzo ya Usalama Barabarani

Wadau Waungana Kunusuru Mazingira ya Maasai Steppe

Wadau Waungana Kunusuru Mazingira ya Maasai Steppe
Enable Notifications OK No thanks