Migogoro ya ardhi inavyoathiri maendeleo.

Kurunzi Maalumu.

Migogoro ya ardhi ni hali ya kutokubaliana au mvutano kati ya pande mbili au zaidi kuhusu umiliki, matumizi, au mipaka ya ardhi.

Migogoro hii inaweza kusababishwa na sababu mbalimbali kama vile upanuzi wa shughuli za kilimo na ufugaji, uwekezaji katika ardhi, ukosefu wa hati miliki za ardhi, mabadiliko ya tabianchi, na mipango duni ya matumizi ya ardhi.

Katika makala hii maalum ya Kurunzi ambayo hukujia kila Ijumaa saa 2:30 asubuhi kupitia ORKONEREI FM wiki hii imeangazia namna Migogoro ya ardhi inavyokwamisha maendeleo kwenye jamii, hapa utasikia visa lakini ufafanuzi wa namna gani migogoro imekwamisha maendeleo.

Related Posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

You Missed

Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

Jamii ya Maa Iwe Makini na Wanaotaka Kuigombanisha na Serikali – Fred Lowassa

Jamii ya Maa Iwe Makini na Wanaotaka Kuigombanisha na Serikali – Fred Lowassa

Madereva wa Serikali Arusha Wawezeshwa kwa Mafunzo ya Usalama Barabarani

Madereva wa Serikali Arusha Wawezeshwa kwa Mafunzo ya Usalama Barabarani

Wadau Waungana Kunusuru Mazingira ya Maasai Steppe

Wadau Waungana Kunusuru Mazingira ya Maasai Steppe
Enable Notifications OK No thanks