Mama Anayenufaika na Kilimo cha Mboga Msimu wa Kiangazi

Katika kipindi cha kiangazi, wakazi wa Kijiji cha Terrat hukumbwa na changamoto ya upatikanaji wa mboga za majani. Hata hivyo, hali hii pia inatoa fursa kwa wakulima wabunifu wanaotumia mbinu mbalimbali kuzalisha mboga na kupata kipato.

Katika makala hii, mwanahabari Evander Barnaba anazungumza na mama anayejipatia kipato kupitia kilimo cha mboga mboga licha ya changamoto ya upatikanaji wa maji ya umwagiliaji. Pamoja na vikwazo hivyo, anaendelea kupambana kuhakikisha anazalisha mazao ya kutosha kwa ajili ya familia yake na jamii inayomzunguka.

Sikiliza makala ya sauti kwa undani zaidi kwa kubofya hapa chini.

  • Related Posts

    UMEME WALETA MAENDELEO KATA YA TERRAT, SIMANJIRO

    Nishati ya umeme imeleta mapinduzi makubwa ya maendeleo katika kata ya Terrat, mkoani Manyara. Wakazi wa eneo hili sasa wanashuhudia mabadiliko katika sekta mbalimbali, ikiwemo biashara, elimu, afya, na ajira,…

    Continue reading
    WAZIRI MKUU AWATAKA WAHANDISI WAZINGATIE MAADILI

    #Habari WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa awataka wahandisi wote nchini wazingatie miiko na maadili ya taalum hiyo ikiwemo kuitekeleza miradi ya ujenzi kwa ubora unaoendana na thamani ya fedha halisi iliyotolewa.…

    Continue reading

    Leave a Reply

    Your email address will not be published. Required fields are marked *

    You Missed

    Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

    Polisi Arusha Waimarisha Ukaguzi wa Mabasi Kukabiliana na Ajali

    Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

    Madereva 800 Wapatiwa Mafunzo Maalumu Kuelekea Msimu wa Utalii Arusha

    Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

    Kijana auawa kwa kisu Arusha, wananchi wachoma nyumba ya mtuhumiwa

    Jamii ya Maa Iwe Makini na Wanaotaka Kuigombanisha na Serikali – Fred Lowassa

    Jamii ya Maa Iwe Makini na Wanaotaka Kuigombanisha na Serikali – Fred Lowassa

    Madereva wa Serikali Arusha Wawezeshwa kwa Mafunzo ya Usalama Barabarani

    Madereva wa Serikali Arusha Wawezeshwa kwa Mafunzo ya Usalama Barabarani

    Wadau Waungana Kunusuru Mazingira ya Maasai Steppe

    Wadau Waungana Kunusuru Mazingira ya Maasai Steppe
    Enable Notifications OK No thanks